Posted on: February 15th, 2023
Bodi ya Korosho Tanzania imeipatia Halmashauri ya wilaya Kilindi kilo 1000 za mbegu ya Korosho ili zigawanywe kwa wakulima kwa lengo la kuinua kipato cha kaya na Taifa
Mratibu wa zao la Korosho kat...
Posted on: February 7th, 2023
Modi Mngumi-Kilindi
Shule ya sekondari Vibaoni iliyopo kata ya Tunguli katika kijiji cha Msamvu katika Halmashauri ya Wilaya Kilindi imepatiwa kiasi cha shilingi milioni 114 kwa ajili ya kuta...
Posted on: February 1st, 2023
Serikali katika kuhakikisha huduma za kijamii ikiwemo afya zinasogezwa karibu na wananchi imeipatia tena Halmashauri ya wilaya Kilindi mkoani Tanga kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya kukamili...