• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

ZAIDI YA TSH MILIONI 408.9 ZASAIDIA MATENGENEZO YA BARABARA WILAYANI KILINDI

Posted on: October 5th, 2022

Mfuko wa Barabara (Road Fund) umetoa zaidi ya Tsh mil 408.9 kwa ajili ya matengenezo ya barabara,vivuko na kalvati wilayani Kilindi

Fedha hizo zimesaidia kufanikisha matengenezo ya miundombinu ya barabara katika vijiji vya Kwediboma, Makasini,Mzinga,Kimembe,Kilwa,Majengo,Kwadundwa,Muungano na Kwadudu.

Kaimu meneja wa TARURA Wilayani Kilindi ndugu Gwamaka Mwaipaja amezitaja barabara hizo kuwa ni Kwediboma-Kimembe kilomita 9.5,Muungano-Kimembe-Tamota-Vyadigwa kilomita 3.2 na Tamota-Kwadundwa-Lulago-Lwande kilomita 2.6.

Amesema matengenezo ya barabara hizo yamehusisha  ujenzi wa kalvati 6 na vivuko mfuto (solid drift) 8 na kwamba mradi huu ambao mkataba wake ulianza 03/09/2021 na kutakiwa kukamilika 03/03/2022 uliongezewa muda hadi tarehe 20/04/2022 hivi sasa umekamilika.

Bwana Mwaipaja amesema katika mradi huu matengenezo ya barabara ya muda maalum na sehemu korofi yalikuwa barabara ya Kwediboma-Kimembe,ambapo matengenezo ya muda maalum yalihusisha barabara ya Tamota-Kwadundwa-Lulago-Lwande na matengenezo ya kawaida yalihusisha barabara ya Muungano-Kimembe-Tamota-Vyadigwa.

Amesema TARURA wilayani Kilindi kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji husika inaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza barabara pamoja na kuacha shughuli zote zinazosababisha uharibu wa miundombinu hiyo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kilindi ndugu Gracian Makota akizungumzia kuhusu matengenezo ya barabara hizo amesema serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Mh: Samia Suluhu Hassan imekuwa ikitatua changamoto ya ubovu wa barabara kwa kutoa fedha.

Amewataka wafugaji kuacha kupitisha mifugo katika barabara kwani tabia hiyo imekuwa ikiharibu miundombinu hiyo.

Amewataka watendaji wa kata na vijiji kushirikiana na TARURA kuelimisha wananchi kuacha kulima au kufanya vitendo vyovyote vinavyosababisha uharibu wa barabara na mindombinu mingine.

Matengenezo ya barabara hizi yatasaidia wakazi wa maeneo ya Lwande,Kwadundwa,Tamota,kupitisha mazao yao kwa urahisi kwani maeneo haya ni tajiri wa mazao ya viungo kama vile Iliki,Mdalasini,Pilipilimanga,Ndizi,Magimbi na mengine mengi.

MODI MNGUMI

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.