• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

WAKAZI WILAYANI KILINDI WATAKIWA KUONGEZA MWITIKIO KUPAMBANA NA UGONJWA WA UKIMWI

Posted on: December 3rd, 2025

Wakazi Wilayani Kilindi wametakiwa kuongeza mwitikio katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi

Wito huo umetolewa  na Mkuu wa wilaya ya Kilindi Mh:Hashim  Mgandilwa wakati alipokuwa akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani ambayo kiwilaya yalifanyika katika kijiji cha Msamvu  katika kata ya Tunguli

Alisema ugonjwa wa Ukimwi  bado ni tataizo na ndio maana kauli mbiu ya maadhimisho kwa mwaka 2025  ni mahsusi kwa ajili ya kuhamasisha jamii kuendelea na mwitikio katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo

Akizungumzia kuhusu upimaji wa Virusi vya ukimwi Mh:Mgandilwa alisema  bado kuna mwitikio mdogo wa kwenda kupima   hususani  wanaume wengi hawapendi kupima ili kuja afya zao na badala yake hutegemea vipimo kutokana na majibu ya  wake zao pindi wanapokuwa wajawazito

Alisema  wanaume wote waone umuhimu wa kwenda kupima na kutaja kuwa wilaya  ina asilimia  0.9 ya maambukizi  hali ambayo inaonyesha bado hali hii si nzuri na kutaka kuungwa mkono kwa jitihada za kupambana na ugonjwa wa Ukimwi

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAKAZI WILAYANI KILINDI WATAKIWA KUONGEZA MWITIKIO KUPAMBANA NA UGONJWA WA UKIMWI

    December 03, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KILINDI AWATAKA VIJANA KUILINDA AMANI NCHINI

    December 01, 2025
  • WATUMISHI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI WAHAMASISHWA KUWEKEZA KATIKA MASOKO YA FEDHA NA HISA KWA AJILI YA AKIBA NA MENDELEOKWA AJILI YA KUWEKEZA KWA AJILI YA AKIBA NA MAENDELEO

    November 25, 2025
  • MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI YA MATITI YAWALINDE WANAWAKE

    September 30, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.