• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

WAFUGAJI WILAYA KILINDI WAMETAKIWA KUTEKELEZA ZOEZI LA UWEKAJI HERENI MIFUGO YAO

Posted on: October 10th, 2022

Mkuu wa Wilaya Kilindi Mh:Abel Yeji Busalama amesema suala la kuweka mifugo Hereni ni endelevu na kila mfugaji wilayani hapa anatakiwa kutekeleza agizo hilo.

Mh:Mkuu wa Wilaya ametoa agizo hilo mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa akizungumza na  wafugaji wilayani Kilindi katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Kilindi.

Amesema kila mfugaji anatakiwa kuweka Hereni Mifugo yake na asiyefanya hivyo hatua za kukamatwa mifugo yake itachukuliwa

“Kila mfugaji katika kila kata  kwa viongozi wa wafugaji  na wafugaji maarufu muwe wa kwanza kuweka hereni ili wengine waweke kama ulihamisha Ngombe wako kwa sababu ya kiangazi  basi watakapokuja tena utatoa taarifa” alisistiza Mh:Busalama

Amesema zoezi la kuweka hereni ni endelevu kwa sababu kila siku mifugo inazaliwa na kuongezeka hivyo kila mfugaji anapaswa kutekeleza agizo hilo ili kuepuka kamatakamata hapo baadaye.

Akizungumzia kuhusu vifo vya mifugo Mh:Busalama amewataka wafugaji kutoa taarifa mara moja kunapotokea vifo vya mifugo katika maeneo yao.

Amesema suala la vifo vya mifugo kufa na sababu haijulikani ni sehemu ya majukumu ya kamati ya usalama wilaya na wasing’ang’anie kutibu wakati kuna kitu hakijulikani inapaswa kutafutwa chanzo cha tatizo.

Katika kikao hicho wafugaji wengi waliomba serikali kusitisha zoezi la uwekaji hereni mifugo yao kwa madai kuwa hivi sasa kwa sababu ya kiangazi mifugo mingi haipo karibu imepelekwa mbali kwa ajili ya malishona kuongeza kuwa serikali ingesubiri hadi wakati wa mvua ndipo zoezi hilo lianze

Wafugaji hao katika kikao hicho pia walipendekeza kuwepo kwa maeneo maalum ya wafugaji ambayo yatatambuliwa kisheria kwa wafugaji kumilikishwa maeneo hayo baada ya kufuata taratibu zote za kisheria.

Wamesema maeneo hayo yanapaswa kutambuliwa kisheria na wafugaji kwa kushirikiana na wataalam wa kilimo na mifugo kuanzisha mashamba ya malisho kwa ajili ya mifugo yao hali ambayo inaweza kuondoa migogoro ya ardhi kati yao na wakulima

Modi Mngumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAPOKEA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 632 ZA MIRADI

    June 22, 2025
  • MRADI WA MAJI KWAMALIGWA-GITU KUNUFAISHA WAKAZI 36,263

    June 17, 2025
  • MWENGE WA UHURU WILAYANI KILINDI WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9

    June 10, 2025
  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.