• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

TATIZO LA UKOSEFU WA ZAHANATI KATIKA VIJIJI SITA WILAYANI KILINDI LAPATIWA UFUMBUZI

Posted on: January 22nd, 2023

Tatizo la ukosefu wa zahanati katika vijiji sita wilayani Kilindi lapatiwa ufumbuzi kufuatia serikali kutoa shilingi milioni 300 za ukamilishaji zahanati zilizoanza kujengwa na wananchi

Fedha hizo tayari zimeshatumika kumalizia zahanati hizo sita ambazo zitakuwa ni ukombozi kwa wananchi kwa kuwaondolea kero ya kutembea umbali mrefu kwa ajili ya kufuata huduma za matibabu maeneo ya jirani.

Serikali kuu ilitoa fedha hizo ambazo ziligawanywa kwa kila kijiji kupatiwa shilingi milioni hamsini ikiwa ni uungaji mkono nguvu za wananchi wake ambao wamekuwa wakitekeleza sera ya uchangiaji ujenzi kwa vitendo

Vijiji ambavyo vimejenga zahanati hizo ni Mabalanga ,Mnkonde,Kwamaligwa,Misufini,Mmbogo na Kwamfyomi.

Wananchi wa vijiji hivyo wameishukuru serikali kwani awali iliwalazimu kutembea umbali mrefu kati ya kilomita 5-10 ili kufuata huduma za afya na kuongeza kuwa hali ilikuwa mbaya zaidi kwa watoto na mama wajawazito

Walisema wanatoa shukrani zao za dhati kwani wanaona jinsi serikali yao inayohangaika kuhakikisha kero zao zinapatiwa ufumbuzi.

Sanjari na wananchi vingozi nao wakiongozwa na mkuu wa wilaya Kilindi Mh:Abel Busalama nao walitoa shukrani kwa Mh:Rais kwa namna anavyohakikisha kero za wananchi na maendeleo ya nchi yanapatikana.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kilindi bwana Gracian Makota  alisema serikali inayoongozwa na Mh:Dk Samia Suluhu Hassan inastahili pongezi za dhati kwa namna inavyotekeleza ahadi zake za kutatua changamoto za wananchi

Alisema miradi mingi inatekelezwa ili kuhakikisha  wananchi wa Tanzania wanapiga hatua za kimaendeleo na kuboresha ustawi wa jamii.

MODI-MNGUMI-KILINDI

MWISHO

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI KILINDI D-TANGA May 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI June 07, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAPATIWA SHILINGI MILIONI 100 KUMALIZIA UJENZI WA ZAHANATI MBILI

    February 01, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAFANIKIWA KUKOPESHA VIKUNDI SHILINGI MILIONI 296.6

    January 31, 2023
  • SHULE YA KONGWE YA MSINGI SANGENI YAPATIWA SHILINGI MILIONI MIA MOJA ZA UKARABATI

    January 27, 2023
  • SERIKALI YADHAMIRIA KWA VITENDO KUFUFUA ZAO LA PAMBA

    January 26, 2023
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.