• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

SHILINGI BILIONI 1,512,500,000/= KUJENGA MIUNDOMBINU YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI

Posted on: April 27th, 2023

Serikali kuu kupitia mradi wa BOOST imeipatia Halmashauri ya wilaya Kilindi shilingi bilioni 1,512,500,000/= kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya elimu ya awali na msingi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kilindi bwana Gracian Makota alisema fedha hizo zitaiwezesha Halmashauri kutatua tatizo la msongamano wa wananafunzi katika shule za Kibirashi na Mafisa

Alisema shule mbili mpya za mikondo miwili zitajengwa katika vijiji vya Mafisa na Kibirashi na kila shule itagharimu shilingi milioni 540,000,000/= na shilingi milioni 69,100,000/=zitajenga madarasa mawili ya elimu ya awali katika kijiji cha Kilindi ambayo yatakuwa ya kisasa yenye mahitaji muhimu kwa watoto.

“Hebu liangalie hili jambo na muujiza wake ambao unaikuta wilaya Kilindi unakwenda kupata mtu ambaye anakusaidia kuanzisha shule mpya ambayo haikuwepo na inaanzishwa na kuanza kufanya kazi”alisema Mkurugenzi Makota na kumshukuru Mh Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha miundombinu ya elimu inakuwa bora

Mkurugenzi  Makota alisema sanjari na hayo fedha hizo zitatumika kujenga vyumba 2 na matundu 3 ya vyoo katika shule za msingi Jungu,Kwamngwaji,Mtonga na Mzinga ambapo kila shule itatumia shilingi milioni 56,300,000/=

Alisema  shilingi milioni 137,600,000/= zitatumika kujenga vyumba 5 vya madarasa na matundu 6 ya vyoo katika shule ya msingi Negero

Wananchi katika Halmashauri ya wilaya Kilindi wanatoa shukrani za dhati kwa serikali kwa kuipatia Halmashauri fedha hizo ambazo zinaenda kutatua changamoto za kielimu

Ibara ya 80 ya Ilani ya CCM inaagiza serikali kuimarisha ubora wa elimu katika ngazi zote

Modi Mngumi

Mawasiliano serikali Halmashauri ya wilaya Kilindi

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.