• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

KILINDI YAKAMILISHA UJENZI WA VYUMBA 18 VYA MADARASA

Posted on: January 21st, 2023

Halmashauri ya wilaya Kilindi imekamilisha ujenzi wa vyumba 18 vya madarasa  katika shule za sekondari  11.

Ujenzi Wa vyumba hivyo umetekelezwa kufuatia serikali kuu  kutoa fedha  za ujenzi  ikiwa ni mikakati ya serikali kuhakikisha wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 hawakosi  madarasa ya kusomea

  Serikali kuu ilitoa kiasi cha Tsh milioni 360 kwa ajili ya ujenzi  huo ili kupunguza tatizo la ukosefu wa vyumba vya madarasa.

Viongozi na wananchi wa Wilaya Kilindi wanatoa shukrani kwa serikali inayoongozwa na Mh:Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo wilaya imekuwa ikinufaika na fedha za miradi mbalimbali ikiwemo ya afya na elimu.

Akizungumzia madarasa hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kilindi ndugu Gracian Makota alisema  anatoa shukrani kwa Mh:Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa  kuipatia Halmashauri fedha za vyumba hivyo 18

Alisema fedha hizo zimesaidia katika kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha kwanza hawakosi kwenda shule kwa sababu ya uhaba wa vyumba vya madarasa.

Alisema Halmashauri itahakikisha vijana wote waliochagaliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 wanaanza masomo na kumaliza lengo ni kuhakikisha vijana wanapata elimu kwa manufaa ya jamii na taifa.

Shule ambazo zilipata fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ni Pagwi,Kikunde,Nkama,Masagalu,Kwediboma,Mbwego,Kibirashi,Mafisa,Komkalakala,Mkindi na Kimbe.

MWISHO

MODI MNGUMI-KILINDI

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI KILINDI D-TANGA May 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI June 07, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAPATIWA SHILINGI MILIONI 100 KUMALIZIA UJENZI WA ZAHANATI MBILI

    February 01, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAFANIKIWA KUKOPESHA VIKUNDI SHILINGI MILIONI 296.6

    January 31, 2023
  • SHULE YA KONGWE YA MSINGI SANGENI YAPATIWA SHILINGI MILIONI MIA MOJA ZA UKARABATI

    January 27, 2023
  • SERIKALI YADHAMIRIA KWA VITENDO KUFUFUA ZAO LA PAMBA

    January 26, 2023
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.