• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI

Posted on: August 5th, 2021

Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri na Diwani wa Kata ya Bokwa Mhe. Idrissa Omari Mgaza, imekagua miradi ya elimu kwa lengo la kujiridhisha na hatua za ujenzi zilizofikiwa ili iweze kutoa huduma bora kwa jamii.

Akiwa katika ziara hiyo iliyohusisha wakuu wa idara na vitengo pamoja na waheshimiwa Madiwani, Mhe.Idrissa Omari Mgaza alipata fursa ya kuona, kukagua, kusikiliza na kuainisha hatua zilizofikiwa, fedha iliyotumika na iliyobakia, ubora na changamoto zilizopo katika miradi hiyo ili ziweze kutatuliwa kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Amesema sekta ya elimu ni sekta muhimu sana na ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya sasa na ya baadae hivyo ni vema kuweka mkakati madhubuti wa ufuatiliaji kuhakikisha inatekelezwa kwa ubora uliokusudiwa.

Ameongeza kuwa kukamilika kwa  miradi  yenye ubora hupelekea kutoa huduma bora kwa wananchi kutakakoimarisha ubora wa elimu inayotolewa na kuongeza ufaulu kwa wanafunzi hali itakayoleta hamasa kwa walimu katika ufundishaji, wanafunzi katika kujifunza na mwamko wa kusomesha watoto katika jamii.

"Sekta ya Elimu ni sekta inayomgusa mwananchi moja kwa moja, hivyo nilazima tujiridhishe miradi hii inatekelezwa kwa viwango na thamani ya fedha inaonekana ili iweze kutoa huduma bora kwa jamii" Amesisitiza Mhe.Idrisa

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na ujenzi wa darasa, ofisi na stoo shule ya msingi Songe, Maabara katika shule ya sekondari Seuta katika kata ya Songe, ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi Nkama, ujenzi wa madarasa na matundu ya vyoo katika shule ya sekondari Nkama katika kata ya Bokwa.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha TEHAMA

Halmashauri ya Kilindi.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI KILINDI D-TANGA May 03, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA - SENSA 2022 May 05, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAKAZI WA WILAYA KILINDI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA

    September 15, 2021
  • WAKAZI WA KATA YA PAGWI WAANZISHA STOO YA MATOFALI

    August 07, 2021
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI

    August 05, 2021
  • JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA BINTI WA MIAKA 6

    April 22, 2021
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.