TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MKOPO UNAOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU
(Limetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 8 (1))
Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi anatangaza uwepo wa jumla ya shilingi 550,500,000.00 (Milioni Mia Tano Hamsini na Laki Tano) ambazo zimetengwa katika robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026 kwa ajili ya kuvikopesha vikundi vya Wanawake, Vijanana Watu Wenye Ulemavuvyenye sifa. Kwa mchanganuo ufatao;-
| Na.
|
Aina ya Kikundi
|
Kiasi cha Mkopo |
Asilima (%) |
|
1. |
Wanawake
|
220,200,000.00 |
40 |
|
2. |
Vijana
|
220,200,000.00 |
40 |
|
3. |
Watu wenye Ulemavu
|
110,100,000.00 |
20 |
|
|
Jumla
|
550,500,000.00 |
100 |
Sifa za Vikundi vinavyotakiwa kuomba Mikopo: -
KikundikinachoombaMkopokiambatanishe;
NamnayakuwasilishaMaombiyaMkopo;-
Maombi yote yamikopoyatumwekupitiamfumowakielektronikiwaWezesha Portal (kupitiatovuti https://mikopohalmashauri.tamisemi.go.tz/) baadayakutambuliwanaHalmashauri.
Kwa ufafanuzi/maelekezozaiditafadhaliwasiliananaAfisaMtendajiwa Kijiji au AfisaMaendeleoyaJamiiwaKata au AfisaMtendajiwaKata eneolako.
Tangazohililimetolewaleotarehe 17/11/2025.
Mwishowakuwasilishamaombinitarehe 16/12/2025
John K. Mgalula
MKURUGENZI MTENDAJI
HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI
“Huduma zote zinazotolewa na Afisa wa Serikali hazilipiwi ni bure”.
Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.