• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

Mkuu wa Wilaya:”Hakikisheni kila kata inapanda miti 93,952”

Posted on: April 4th, 2018

Watendaji wa kata na vijiji watakiwa kuhakikisha wanasimamia upandaji miti katika maeneo yao ili kuweza kuhimili mabadiliko ya tabia ya nchi na mifumo ya hali ya hewa inayopelekea kupata mvua chini ya kiwango na nyakati ambazo hazikutarajiwa.

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipokuwa akizindua wiki ya upandaji miti katika Shule ya Sekondari Nkama iliyopo kata ya Bokwa wilayani hapa. Ambapo katika sherehe hizo watendaji mbalimbali wa serikali walishiriki.

Hata hivyo Mhe. Mtondoo amewataka watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha wanaandaa utaratibu wa kupanda miti katika  maeneo ya kaya, Ofisi za serikali za vijiji, Vituo vya Afya, Shule za msingi na Sekondari lakini pia katika miteremko ya milima na maeneo yote ya wazi. 


“Maafisa watendaji wa vijiji kaanzisheni sheria ndogo zitakazo sisitiza upandaji miti kwa wananchi” alisema Mkuu wa wilaya alipokuwa akitoa maagizo kwa watendaji na kueleza umuhimu wa upandaji miti katika maeneo ya makazi.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilindi Ndg. Clemence A.Mwakasendo amesema kuwa Halmashauri kupitia idara ya Ardhi na Mali Asili imejipanga kuhakikisha kuwa kata zote 21 zinatengeneza vitalu vya miche ya miti na kushiriki kwenye kampeni za upandaji miti kila mwaka.

Ndg Mwakasendo ameahidi kupitia idara ya Ardhi na Mali Asili ataendelea kushirikiana na wananchi wa Kilindi kwa kuwapatia elimu kwa kutumia maafisa ugani waliopo katika ngazi za kata na vijiji ili kutimiza adhima ya Tanzania ya kijani.

Hata hivyo wilaya ya kilindi imekuwa ikitekeleza upandaji Miti kwa vitendo kila mwaka, ambapo mwaka 2016/2017 ilijiwekea lengo la kupanda miti milioni moja laki tisa na sabini na tatu elfu na walifanikiwa kuipanda na kati ya hiyo miti milioni moja laki nane na ishirini na tano elfu sawa na asilimia 92.4 ilikua bila shida.

Kilele cha maadhimisho hayo kinatarajiwa kufanyika katika shule ya sekondari Mkindi mnamo tarehe 13 April 2018 kuanzia majira ya saa 3:00 asubuhi ambapo wananchi wote wamekaribishwa kushiriki kilele hicho.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAPOKEA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 632 ZA MIRADI

    June 22, 2025
  • MRADI WA MAJI KWAMALIGWA-GITU KUNUFAISHA WAKAZI 36,263

    June 17, 2025
  • MWENGE WA UHURU WILAYANI KILINDI WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9

    June 10, 2025
  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.