• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

KIKAO CHA UCHUNGUZI WA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA JAMII WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA LA AFRIKA MASHARIKI

Posted on: June 2nd, 2017

Mkurugenzi wa kampuni ya JSB ENVI-Dep LTD Bi.Saada Juma wa kwanza kulia katika picha akiwa na Ndg.Mgisha Pastori wa pili kulia na Afisa Usafi na Mazingira  wa wilaya ya Kilindi Ndg.Winston Temba wa kwanza kutoka kushoto wakiwa katika Kikao cha tathmini ya athari za mazingira na jamii zinazoweza kusababishwa na mradi pendekezwa wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi africa mashariki (East africa crude oil pipeline-EACOP), Linalotarajia kupitishwa katika halmashauri ya wilaya ya kilindi.

Tathmini  ya  athari  ya mazingira na jamii zinazoweza kusababishwa na mradi pendekezwa wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi Afrika mashariki unaanzia kutoka kwenye  eneo la ugunduzi lililopo  kusini mwa  ziwa  Albertine nchini Uganda hadi rasi ya chongoleani  iliyopo kasikazini mwa bandari ya Tanga Tanzania kwa ajili ya kusafirisha nje kwenye soko la kimataifa.

Wataalamu elekezi toka kampuni ya JSB Envi-Dep LTD ya kufanya tathmini ya athari ya mazingira na jamii zinazoweza kusababishwa na mradi pendekezwa  walieleza kwakina juu  ya mradi utakavyotekelezwa  hatua kwa hatua kwa wajumbe wa kikao kutoka Ofisi ya Mkuu(W) kilindi ambayo pia ni kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) Kilindi, Viongozi wa kata ambazo bomba la mafuta litapitia pamoja na wadau wengine.

Wataalamu wa JSB ENVI-Dep LTD waliwaelekeza wajumbe wa kikao kuwa ukiachana na jinsi mradi utakavyo tekelezwa kuna faida zake pia ambazo ni Kutoa ajira na fursa za biashara kama kutengeneza ajira za muda mfupi (miaka 2-3) na kutoa mafunzo kwa wenyeji, kusaidia mahudhui na manunuzi ya ndani

Pili kushiriki katika programu za maendeleo kama usalama barabarani na kujenga uwezo na Faida ya mwisho ni kuimarisha miundombinu kama vile barabara.

Pia watalaam hao walitoa furusa kwa wajumbe kutoa maoni, kuuliza maswali, mapendekezo na masuala yote yanayohusiana na mradi  ili yaweze kuzingatiwa kwenye mchakato wa tathmini ya athari za mali na kubainisha njia za kupunguza  ili kuhakikisha mradi unaendelezwa bila ya kusababisha athari kwa mazingira ya jamiii.

Watalaam walitaja kata ambazo bomba la mafuta ghafi litapitia kwa wilaya ya Kilindi kuwa ni Kibirashi, Kisangasa,  na Mkindi. Lakini pia walisema pia katika kijiji cha Gitu kilichopo kata ya Kibirashi itajengwa kambi kubwa yenye uwezo wa kubeba wafanyakazi  1000 pamoja na kuhifadhi vifaa kwaajili ya ujenzi  huu.

Aidha watalamu elekezi kutoka  kampuni ya JSB ENVI-DEP LTD waliwataka viongozi ngazi za kata ambao bomba litapitia kubainisha shughuli za maendeleo zinazofanyika kwenye maeneo yao pamoja na vitu vinavyopatikana mfano maeneo ya matambiko, makaburi, misitu ya asili mabwawa n.k, ambapo vitu muhimu vilivyobainishwa ni Maeneo ya Shule, Maeneo ya Madini kama vile Kijiji cha Kinkwembe kilichopo kata ya Mkindi, Mashamba ya Kilimo na malisho ya mifugo, Malambo ya Maji na Bwawa la Maji la Kwamaligwa lililopo kata ya Kibirashi na Misitu ya Hifadhi ya eneo liitwalo Java.

Vingine ni maeneo ya watu binafsi na maeneo ya hifadhi za vijiji na kata.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAPOKEA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 632 ZA MIRADI

    June 22, 2025
  • MRADI WA MAJI KWAMALIGWA-GITU KUNUFAISHA WAKAZI 36,263

    June 17, 2025
  • MWENGE WA UHURU WILAYANI KILINDI WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9

    June 10, 2025
  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.