• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

WATENDAJI WA KATA WILAYANI KILINDI WATAKIWA KUSIMAMIA SUALA LA UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

Posted on: March 6th, 2024

Katibu Tawala wilaya Kilindi Bibi Tamko Mohamed Ally  amesema suala la watoto kupata chakula shuleni si hiari ni lazima na kuwataka watendaji kata kufuatilia suala hilo katika maeneo yao ili kuhakikiksha kila mtoto anapata chakula shuleni

Akizungumza katika kikao cha kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe robo ya pili kuanzia Oktoba hadi Disemba 2023,katibu Tamko alisema suala la chakula shuleni ni sera inayopaswa kutekelezwa bila kukosa na kila shule ilipewa agizo na Baraza la Waheshimiwa  Madiwani kuhakikisha kila shule inalima ekari 6 za chakula ili kuwa na uhakika wa chakula kwa wananfunzi

“Wanafunzi watafaulu vipi huku wakiwa na na njaa”?alihoji katibu tawala Tamko na kuongeza kuwa anahitaji taarifa ya kila shule ili kujua namna utekelezaji wa mpango wa chakula shuleni unavyotekelezwa hasa katika kipindi hiki cha kilimo na mtendaji wa kata atakaeshindwa kutekeleza agizo hilo atachukuliwa hatua kali

Alisema watendaji wa kata wasimamie watendaji wa vijiji,walimu wakuu na wakuu wa shule na wasikae kimya na kuagiza anataka kupata taarifa za shule zote ambazo hazitoi chakula na kuongeza kuwa  mojawapo ya sababu ya utoro wa watoto shuleni katika wilaya Kilindi ni ukosefu wa chakula kwani wapo ambao wanatembea umbali mrefu kuja shuleni  bila kula chakula.

Alisema Watendaji wa kata na vijiji sio kwa ajili ya masuala ya ardhi tu hata masuala mengine ya maendeleo kama hayo ya watoto shuleni kupata chakula ni sehemu ya wajibu wao kwani ndio wasaidizi wakuu wa viongozi wa juu katika wilaya

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya kilindi Mh:Idrisa Mgaza akizungumza katika kikao hicho alisema agizo la madiwani kwa kila shule kulima ekari 6 za chakula ni lazima litekelezwe na wao kama wasimamizi wa masuala ya kimaendeleo katika halmashauri watafuatilia kila shule kuona utekezaji wa agizo walilolitoa

Alisema lengo la kuwa na uhakika wa chakula ni kuhakikisha Wilaya Kilindi  watoto wake wanapata chakula shuleni kwani haina maana wilaya kuwa mzalishaji mkubwa wa chakula katika mkoa huku wanafunzi shuleni hawana chakula na kuwa watoro kwa sababu ya njaa

Modi Mngumi 

Kilindi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.