• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

TARURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATAKIWA KUWASHIRIKISHA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UJENZI WA BARABARA

Posted on: May 4th, 2024

Baraza la Waheshimiwa Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya  ya Kilindi wameitaka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA kuwashirikisha madiwani katika kutafuta ufumbuzi wa kutatua tatizo la ubovu  wa Barabara  za Kilindi ili kuhakikisha miundombinu hiyo inapatiwa fedha za kutosha kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wake

Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Kilindi Mwenyekiti wa Baraza hilo Mh Idirsa Mgaza alisema  Wilaya Kilindi ina tatizo kubwa la ubovu Barabara hata na wao kama Waheshimiwa Madiwani ni jukumu lao kuisemea Halmashauri katika vikao na kwingineko ili changamoto ya Barabara isikike na kupatiwa ufumbuzi kwa kutengewa fedha za kutosha

Alisema  Waheshima Madiwani kwa niaba ya wanachi wao wanatoa shukrani kubwa kwa Mh Rais Dk Samia Suluhu Hasssan kwa kuipatia fedha Halmashauri ambazo zimewezesha kuboresha huduma za kijamii kama vile elimu na afya na kwa sasa kero kubwa ambayo inasumbua Halmashauri ni ubovu wa Barabara

Awali akitoa taarifa ya utekelezaji kazi za TARURA katika kipindi cha Robo ya Tatu 2023/2024 Kaimu Meneja wa TARURA  katika Halmashauri ya Wilaya Kilindi Mhandisi Gwamaka Mwaipaja  alisema mpaka kufikia sasa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 robo ya tatu tarehe 30 Machi,2024 kiasi cha fedha kilichopokelewa kutoka Mfuko wa Barabara (Road Fund) ni Shilingi 257,617,641.10 kati ya shilingi 980,113,478.26 zilizopangwa ,ambapo kiasi kilichopokelewa ni sawa na asilimia 26.28 ya fedha zote zilizopangwa.

Alisema fedha za tozo zilizopokelewa ni shilingi 30,033,946.96 na kutaja changamoto ambazo TARURA katika Halmashauri ya Wilaya Kilindi inakumbana nazo kuwa ni jiografia ya Wilaya Kilindi barabara nyingi hupita katika milima na mabonde makubwa hivyo zinahitajio matengenezo makubwa pamoja na ujenzi wa madaraja

Changamoto nyingine ni uharaibifu wa vivuko vya barabara za Msente-Sangeni,Kwediswati-Saunyi na Tamota-Kwadundwa-Lulago-Lwande kutokana na mvua kubwa zilizonyesha na uhaba wa maeneo ya kucimba changarawe/moramu kwa ajil ya ujenzi wa barabara

MODI MNGUMI

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.