• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

MRADI WA UBORESHAJI MILKI ZA ARDHI SULUHISHO LA MIGOGORO YA ARDHI WILAYANI KILINDI

Posted on: February 17th, 2024

Wilaya Kilindi ni moja ya wilaya iliyojumuishwa katika mradi wa Uboreshaji wa Usalama wa Milki za Ardhi(Land Tenure Improvement Programe-LTIP).Mradi huu unaofadhiliwa na Benki ya Dunia unatekelezwa katika vijiji 83 ambavyo haikuwa na mpango wa matumizi bora ya Ardhi.

Akizungumza wakati wa kutoa taarifa ya kupokea mradi huu katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya Kilindi,Afisa Ardhi katika wilaya Kilindi bwana Natus Manumbu alisema kikosi kazi maalum katika mradi huu kwa awamu ya kwanza kilianza kazi 18/12/2023

Alisema kila mwezi vijiji 10 vinatakiwa kuandaliwa mipango ya ya matumizi ya Ardhi na mpaka sasa vijiji 13 vimekamilisha na kuidhinisha mipango ya matumizi ya Ardhi

Afisa Manumbu alisema mradi unatekelezwa katika awamu mbili ambapo ya kwanza inahusisha uandaaji wa mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji husika na awamu ya pili itahusu upimaji na utoaji wa Haki za Hatimiliki za Kimila (CCRO’S) na kuongeza kuwa Haki za Hatimiliki za Kimila zitatolewa kwa wananchi na maeneo ya taasisi zilizopo vijijini.

Alivitaja vijiji hivyo kuwa ni Kwamba,Mvungwe,Vilindwa,Sambu,Mheza,Masagalu,Kigunga,Kwekivu,Mapanga,Ngeze,Mafisa,Mafisa Madukani na Lwande.

Aliizataja faida za mradi wa LTIP kuwa ni kuwezesha kutatua migogogro ya mipaka na matumizi ya vipande vya ardhi,uhifadhi endelevu wa mazingira,kuwezesha wananchi kumiliki vipande vya ardhi kwa mujibu wa sheria,kuwezesha wananchi kukopesheka katika taasisi za fedha.

Faida nyingine ni mirathi kumilikishwaa kwa warithi halali,wananchi na serikali kujikita katika shughuli za kimaendeleo na kuwa na mipango yenye tija kwa miundombinu na maendeleo mengine

Baadhi ya wananchi wakiuzungumzia mradi huu waliishukuru serikali inayoongozwa na Mh:Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwani mradi huu utasaidia kuimarisha amani na utulivu kwa kuondoa migogoro ya ardhi na pia kuwa chachu ya maendeleo ya kiuchumi kwa kuwawezesha wananchi hasa wa vijijini kuweza kuwa na hatimiliki za kisheria na kuwa na uwezo wa kukopa

MODI MNGUMI

KILINDI DC

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.