Dc-Kilindi :Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe.Hashim Mgandilwa akiwa na viongozi mbali mbali wa Serikali
walioshiriki ziara va Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe @mwigulunchemba Wilaya
ya Kilindi tarehe 14 Februari, 2026 ambapo aliweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Kilindi, mradi
muhimu unaolenga kuboresha huduma za afya kwa wananchi na kukagua ujenzi wa mradi wa maji wa
Kwamaligwa, mradi unaolenga kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama. @salum_nyamwese
@mwigulunchemba @daniel_ godfrey_chongolo @kilindimatukio @owm_tz @wizara_afyatz @wizarayamajitz
Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.