• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

FORVAC YASAIDIA VIFAA VYA TSHS 26.1 VIKUNDI 5 VYA UFUGAJI NYUKI KILINDI

Posted on: September 20th, 2022

Programu ya kuendeleza mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu (FORVAC) imesaidia kuviwezesha vikundi  5 vya ufugaji Nyuki wilayani Kilindi mizinga 100 na vifaa kinga mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Tsh    milioni 26.1.

Akikabidhi vifaa hivyo jana mjini hapa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kilindi bwana Gracian Makota,Mratibu wa Progam ya FORVAC  kongani ya Tanga bwana Petro Masolwa alivitaja vikundi hivyo ni kutoka katika vijiji vya Mafisa , Madukani  Majengo,Kwamwande,Tuliani Kwedijelo na Komnazi.

Alisema lengo la FORVAC ni kusaidia kuongeza thamani ya mazoa ya misitu ikiwemo Asali na mazao yake ili kuongeza kipato cha wafugaji Nyuki na hatimaye kuondoa au kupunguza umaskini kwa kuboresha kipato cha kaya na Taifa kwa jumla.

Akipokea vifaa hivyo Mkurugenzi Mtendaji Bwana Makota ameishukuru progam FORVAC kwa kuwezesha wananchi wa katika Halmashauri yake na  vifaa vilivyotolewa vitasaidia wafugaji Nyuki kufuga kisasa na kuongeza mazoa ya asali.

Alisema ufugaji Nyuki unaendana na suala zima la utunzaji wa mazingira na kutoa wito kwa taasisi na vijiji katika Halmashauri ya Wilaya Kilindi kuongeza kasi ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti na kuacha kukata miti hovyo.

Program ya FORVAC iliyoanza mwaka 2018 na kukamilika mwezi wa 5 mwaka 2022 imewezesha wafugaji Nyuki wilayani Kilindi kuongeza thamani ya mazao ya Nyuki na kuwezesha kuongeza thamani ya mazao ya  Asali ambapo kwa mujibu wa Afisa Nyuki wa Halmashauri ya Wilaya Kilindi bwana Shilibe Metipoi kwa mwaka 2021/22 jumla ya Tani 2.7 zilipatikana na wafugaji waliweza kupata kiasi cha Tsh mil 27.

Alisema FORVAC imefanikisha  urudishaji wa miche ya miti katika maeneo yasiyo na miti katika msitu wa hifadhi wa kijiji cha Mnkonde wilayani Kilindi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa usimamizi misistu ambapo miche 11,600 ilipandwa katika sehemu yenye uerfu wa kilomita 13 na maeneo ambayo yaliharibiwa yenye ukubwa wa Hekta 3.75.

MODI MNGUMI KILINDI 

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.