• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

BODI YA PAMBA YAIPATIA TENA HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI MBEGU YA PAMBA

Posted on: February 20th, 2023

Bodi ya Pamba  imeipatia tena Halmashauri ya wilaya Kilindi  tani 5 sawa na kilo 5000 za mbegu ya Pamba.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kilindi bwana Gracian Makota alisema Halmashauri imeongezwa mbegu hizi baada ya kufanya vizuri katika kuhamasisha wakuma kulima zao hilo katika kata 5

Alisema nyongeza ya mbegu hii ni itagawanywa katika kata 3   zilizoonyesha hamasa kubwa zaidi ambazo  ni Negero tani 1.8,Jaila tani 1.6 na Msanja tani 1.6

Alisema Halmashauri ya wilaya Kilindi  katika awamu ya kwanza  imepokea mbegu za pamba tani 3.25 sawa na kilo 3250 na kuzisambaza katika kata 5 ambazo ni Mabalnga,Msanja,Jaila,Mkindi na Negero ambapo kila kata ilipata kilo 650

 Mkurugenzi Makota alisema uzinduzi wa kuhamasisha wananchi wa wilaya Kilindi kulima zao la Pamba ulifanyika mwezi wa Februari 2023,katika kitongoji cha Tilwe,kijiji cha Muungano kilichopo kata ya Msanja ambapo mgeni rasmi katika uzinduzi huu alikuwa mkuu wa wilaya Kilindi Mh Abel Busalama

Alieleza zaidi kuwa hadi sasa Halmashauri katika awamu zote mbili imepokea jumla ya tani 8.25 zinazotosha kupanda ekari 825 za pamba katika msimu huu wa kilimo.

Alisema Uongozi wa Halmashauri ya wilaya Kilindi unatoa shukrani kwa serikali inayoongozwa na Mh Rais Dk Samia Suluhu Hassan  kwa jitihada za kuinua uchumi wa wakulima katika Halmashauri.

Zao la pamba litasaidia wakulima kuinua kipato chao na halmashauri kuongeza mapato.

Zao la pamba pia litasaidia wakulima kuhifadhi chakula kwani wakulima wengi hutegemea mahindi na aharagwe kama zao la chakula na biashara.

Modi Mngumi

Kitengo cha mawasiliano serikalini

Halmashauri ya wilaya Kilindi

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 17, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • WAKAZI WA MGERA WALIOJENGA KANDO YA MTO LUKIGULA WATAKIWA KUONDOKA

    December 20, 2024
  • JAMII ITOE KIPAUMBELE ULAJI WENYE MAKUNDI YOTE MUHIMU YA VYAKULA

    December 12, 2024
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 569,850,000.00

    November 18, 2024
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.