• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

Vikundi vya wanawake Wilayani Kilindi vyapata neema

Posted on: March 10th, 2018

Mkuu wa wilaya ya kilindi Mhe.Sauda Salumu Mtondoo akabidhi hundi za kuwezesha vikundi vya wanawake kiasi cha shilingi milioni thelathini na mbili (32,000,000/=) katika kuwakwamua wanawake kiuchumi kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 08 machi 2018, ambapo katika maadhimsho hayo yeye alikuwa ndiye mgeni rasmi.

Alipokuwa akiwakabidhi hundi hizo aliagiza vikundi hivyo vihakikishe kuwa vinatumia fedha hizo kwa shughuli za kiuchumi(uwekezaji) ili kuinua kipato chao na jamii ya Kilindi kwa ujumla na si vinginevyo.

Mkuu wa wilaya Mhe.Sauda Salumu Mtondoo akimkabidhi mmoja wa wakilishi wa kikundi cha wanawake, kushoto kwake ni Mkurugenzi mtendaji Ndg Clemence A.Mwakasendo na kulia                                                                                                      kwake Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mhe.Sempule                                                                                                  

Hata hivyo halmashauri imekuwa ikitoa fedha kila mwaka kuwezesha vikundi vya kinamama na vijana kwa kutekeleza agizo la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakisha kuwa kila halmashauri inatoa asilimia nne (04%) ya mapato yake ya ndani kuwezesha vikundi hivyo.

Naye Meneja wa benki ya NMB Tawi la Kilindi ndugu Phillemon Tarimo aliwapongeza wanakawake kwa maadhimisho ya siku hiyo pamoja na kuwashauri wanawake kujiunga na kusajili vikundi mbalimbali vya kiuchumi ili kurahisisha uwezeshwaji wa kifedha kwenye benki hiyo.

                                                                Meneja wa Benki ya NMB tawi la Kilindi Ndg Philemon Taimo (aliyesimama) akitoa elimu kwa vikundi vya kinamama

                                                                                                                                           Picha na Clement A.Moshi

Aidha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani hufanyika kitaifa kila tarehe 08 mwezi Machi ya kila mwaka, ambapo kwa mwaka huu yalifanyikia wilayani Mikindani katika huko Mkoani Mtwara.

Maadhimisho hayo yaliambatana na kauli mbiu isemayo “kuelekea uchumi wa viwanda, tuimarishe usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake vijijini”

Mwisho wa maadhimisho hayo Mkuu wa wilaya Mhe.Sauda Salumu Mtondoo aliongoza katika zoezi la kuchangia damu ili kuokoa maisha ya kinamama na jamii yote ya Kilindi kwa ujumla, ambapo watumishi na baadhi ya wananchi waliohudhuria katika maadhimisho hayo walishiriki kujitolea damu ambayo ilipelekwa katika Hospitali Teule ya Wilaya (CDH)


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAPOKEA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 632 ZA MIRADI

    June 22, 2025
  • MRADI WA MAJI KWAMALIGWA-GITU KUNUFAISHA WAKAZI 36,263

    June 17, 2025
  • MWENGE WA UHURU WILAYANI KILINDI WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9

    June 10, 2025
  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.