• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

Viongozi Wa Wilaya Ya Kilindi Kwa Hili Mnastahili Pongezi.

Posted on: March 20th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe.Sauda Mtondoo leo amepokea mabati na Komputa zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 22.7 kutoka ofisi ya Mkugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano Tanzania na Banki ya ABC.

Misaada hii imetokana na juhudi iliyofanywa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilindi chini ya Mhe.Sauda Mtondoo kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Gracian Makota kutembelea wadau mbalimbali wa maendeleo jijini Dar es Salaam ili kusaidia wananchi wa Wilaya ya Kilindi.

Naye Mkuu wa Kitengo cha Mikopo kwa Watumishi wa Serikali Benki ya ABC Ndg. Emmanuel Nzutu alipokuwa akikabidhi mabati yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 6.7 kwaajili ya kuezeka maboma ya shule za Sekondari, alisema “kwakuunga mkono Serikali ya awamu ya tano kuhusu sera ya Elimu bure leo tunatoa mabati 200 kwa Wilaya ya Kilindi”.

Aidha mbali na mabati hayo Ofisi ya Mkurugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano Tanzania wametoa kompyuta 15 zenye thamani ya zaidi ya milioni 16 kwa uongozi wa Wilaya ya Kilindi kwa juhudi wanazozifanya, katika kuwaletea wananchi maendeleo.

“ Kompyuta hizi tutazitoa kwa shule ambazo zimefanya vizuri kwa upande wa elimu msingi lakini pia upande wa Sekondari” Alisema Mhe. Mtondoo alipokuwa akikabidhi kompyuta hizo  kwa ungozi wa shule zilizofanya vizuri katika mitihani yao mwaka 2018 .

Hata hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Mussa Semdoe alitoa pongezi za dhati kwa uongozi wa Wilaya kwa juhudi mbalimbali wanazozifanya katika kuwaletea wana Kilindi maendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Mtondoo na Katibu Tawala Wilaya Bi.Warda Maulidi kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Gracian Makota wamekuwa mstari wa mbele katika kuwatembelea wananchi na kukusanya kero zinazo wakabiri kisha kuziandalia mipango madhubuti ya kuzitatua kero hizo.

Ziara hii ya mafanikio ni moja ya mikakati iliyowekwa kwa lengo la kutatua kero ya mawasiliano kwa kwa vijiji visivyo na mawasiliano, ambapo vijiji vyote vimeisha ingizwa kwenye mpango wa kuunganishwa na na huduma ya mawasiliano. Pili ziara hii ililenga kutatua changamoto zinazokabili sekta ya Elimu wilayani.

Wahenga walisema mnyonge mnyongeni ila haki yake Mpeni. Hakika Viongozi wetu tunawapeni Hongera kwa kutekeleza Sera ya awamu ya tano kwavitendo.

Imeandaliwa na.

Samwel D.Mwantona (Afisa TEHAMA)



Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda Mtondoo (kulia) akiukabidhi uongozi wa Shule ya Msingi Boma, moja kati ya Kompyuta zilizotolewa na Mfuko wa Mawasiliano Tanzania. Walipokwa katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi.



Mkuu wa Kitengo cha Mikopo kwa Watumishi wa Serikali Benki ya ABC Ndg. Emmanuel Nzutu (Kulia) akimkabidhi mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe.Sauda Mtondoo moja kati ya mabati 200 yenye thamani zaidi ya milioni 6.7 waliyoyatoa leo tarehe 20/03/2019 katika hafla fupi iliyoandaliwa Wilayani Kilindi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAPOKEA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 632 ZA MIRADI

    June 22, 2025
  • MRADI WA MAJI KWAMALIGWA-GITU KUNUFAISHA WAKAZI 36,263

    June 17, 2025
  • MWENGE WA UHURU WILAYANI KILINDI WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9

    June 10, 2025
  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.