• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

DC Kilindi: Watumishi Wa Afya Endeleeni Kuzingatia Maadili Ya Kazi Kwa Kutunza Siri Za Wateja Wenu

Posted on: December 1st, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda Salumu Mtondoo amewataka watumishi wa idara ya Afya Wilayani Kilindi kutunza siri za wateja wanaojitokeza kupima maambukizi ya virusi vya UKIMWI ili kuongeza mwamko wa upimaji Afya.

Aidha amewataka watumishi wa Idara ya Afya kuonyesha upendo na kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuhudhuria kliniki kwa wakati na ufuasi  mzuri wa dawa .

Mhe. Mtondoo amesema hayo alipokuwa katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo yamefanyika Kiwilaya  kata ya Lwande leo tarehe 01.12.2020.

Madhimisho haya yaliongozwa kwa kauli mbiu ya “Mshikamano wa Kimataifa tuwajibike kwa pamoja”. yalihusisha asasi za Serikali na binafsi pamoja na wananchi wa Wilaya ya Kilindi ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda Salumu Mtondoo.

 

“Dumisheni ushirikiano kati ya Halmashauri, asasi za kijamii na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali katika kupunguza maambukizi mapya ya VVU.” Alisema Mhe. Mtondoo alipokuwa akisisitiza mambo ya kuzingatia ilikupunguza maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Aidha kiwango cha maambukizi kiwilaya kutokana na upimaji uliofanyika Januari hadi Oktoba 2020 Jumla ya watu 84,869 kati yao wanaume 38,636 na wanawake 46,233 walipima VVU na waliogundulika kuwa na maambukizi ni 715 kati yao wanaume ni 262 na wanawake 453 ambapo kiwango cha maambukizi ni sawa na asilimia 1.0 ikimaanisha kuwa katika kila watu 100 mtu mmoja ana maambukizi ya VVU.

Hata hivyo amewataka wazazi na walezi kuhakikisha Vijana na Wanafunzi wanapatiwa stadi za maisha zitakazowawezesha kuchelewa kuanza kujamiana, Kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu athari za unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi na VVU na UKIMWI.

Imetolewa na:

Ndg. Ulirch Laswai na Samwel Mwantona

Kitengo cha Habari na Mawasiliano (W)

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA KILINDI KWAAJILI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024 September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA JESHI LA MAGEREZA February 01, 2024
  • TANGAZO LA CHAGUZI NDOGO ZA UDIWANI KUTOKA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZA (NEC) February 17, 2024
  • TAASISI YA MO DEWJI KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO NA KUMUONA DAKTARI BINGWA WA AKINA MAMA BURE WILAYANI KILINDI June 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI YAPOKEA FEDHA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 632 ZA MIRADI

    June 22, 2025
  • MRADI WA MAJI KWAMALIGWA-GITU KUNUFAISHA WAKAZI 36,263

    June 17, 2025
  • MWENGE WA UHURU WILAYANI KILINDI WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 7.9

    June 10, 2025
  • MH: WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA NA KUKAGUA UJENZI WA BARABARA WILAYA KILINDI

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.